Wednesday 29 May 2013

R.I.P ALBERT MANGWEAR

Albert Mangwea
Habari mbaya na za kusikitisha zinasema mangwear msanii wa bongo fleva amefariki dunia kwa kujioverdose madawa ya kulevya. kifo cha mangwear kimetokea nchini south afrika baada ya kutoamka pindi alipo lala. habari nyingine mbaya zaidi zinasema rafiki ya mangwear pia kaaga dunia hii leo huko Africa kusini sasa sijui chanzo cha kifo chao ni madawa kwa wote au kuna something behind the scene. mumgu alitoa na mungu ametwaa jina lake lihimidiwe. R.I.P


 

Monday 27 May 2013

JOTO HASIRA-BY LADY JAYDEE FEAT PROF JAY


MEET THE GORGIOUS CONTESTANTS OF BIG BROTHER THE CHASE 2013 FROM TANZANIA





                                          FEZA KESSY

Age: 25
Country: Tanzania
Occupation: Recording Artist

Recording artist Feza is from Arusha and has a certificate in IT. A fan of French fries and Ugali na Maziwa. She loves Big Brother and says that people always do well after appearing on the show, something she feels is vital for her career. She says that if she wins the grand prize, she’ll invest some, take her son to Disneyland and possibly buy a house.

Feza describes herself as “fun, bubbly, loyal, kind and strong” and thinks her best trait is her humility.

She enjoys people who are honest, caring and fun, but dislikes those who are liars. She promises viewers “a lot of dance, a bit of noise and lots of laughs too”. She’s hoping to get exposure and growth from her time in the house.

Her mom is her role model, whom she cites as “the strongest, most beautiful and humble person I know. She has an older brother and sister, and one younger brother. 


                               NANDO


Age: 22
Country: Tanzania
Occupation: Student

Student Nando says he has never watched Big Brother before and says it feels “normal” that the continent will be watching him 24/7. His friends encouraged him to enter and he says that if he wins the grand prize, he’ll “build an empire”.

Aside from the cash, Nando says he wouldn’t mind picking up a few endorsements on the back of his appearance on the show.

Describing himself as “young, ambitious, fun and loving”, Nando says he’s never thought about his best quality, but likes people with good personalities. His favourite place in Tanzania is Arusha, and globally, Brazil, because he loves football. He eats everything, likes good music and his favourite TV show is 1000 Ways To Die. His favourite actors are Scarlett Johansson and Martin Lawrence.
 

Sunday 26 May 2013

DONT MESS WITH MY STYLE-TULISA ROCKING HER BIKIN SUITS WITH HEELS

Defiant: The singer seemed to be hitting out at those who have criticised her fashion choices in the past

Getting her own back: Tulisa quickly returned the favour by spraying her chums with a bottle of fizz

What's wrong with flip flops? Tulisa was sporting a pair of skyscraper stilettos as she attended Ocean Club's Bank Holiday spray party in Marbella, Spain, on Sunday

Forever Young: The former N-Dubz star didn't seem to be letting her rumoured relationship woes get to her too much

The 24-year-old singer evidently chose style over comfort when it came to her poolside wardrobe, and looked mildly ridiculous as she teetered around a giant pair of black skyscraper stilettos by Christian Louboutin while attending Ocean Club's notorious Bank Holiday spray party on Sunday
 watu na fan zao sio ndo mkaanze kuiga kuvaa high heels beach maana kuna watu hawashindwi mfyuuuu
.
 

Friday 24 May 2013

PREZZO N CANIBAL-MY CITY MY TOWN


LOOK LIKE A STAR




Just came across this pictures n  thought of  sharing  it on my blog as this gal  really caught my eyes as she dress as celebritie n simple for less

Thursday 16 May 2013

ANGELINA JOLIE AKATWA MAZIWA YAKE YOTE KUHOFIA KUPATA CANCER

File:Angelina Jolie Cannes 2011.jpg
 
Inasememekana mwanadada movie star Angelina Jolie amekatwa maziwa yake yote mawili ni baada ya kupima   kipimo cha $3000 ambacho hutumika  kuangalia kama una-gene ya cancer ya maziwa na ya ovaries. yeye aliamua kupima kwa kuwa mama yake alifariki kwa cancer. na alipopima alikutwa na yeye anayo hiyo gene. wakamwambia kuna uwezekano wa 87% za yeye kuja kuwa  na cancer ya maziwa hapo mbeleni...na 50% ovarian cancer...baada ya kuambiwa hivyo akaamua bora akatwe maziwa kabla hiyo cancer hajampata. kwa hiyo amekatwa maziwa ila kaweka maziwa feki kama wawekayo wanawake wengine.
 

Tuesday 14 May 2013

DIVAS ROCKING AFRICAN PRINTS... YOU CAN GET YOUR OWN STYLE HERE



























POLE FLORA BAHATI LYMO AKA MBUTA NANGA




BINTI mrembo aitwaye Flora Bahati Lyimo anamtuhumu mbunge mmoja ‘mtata’ wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloongozwa na Spika Anne Makinda (jina tunalo) kuwa amembaka, Uwazi lina kisa cha aibu ya karne.
      Katika uchunguzi wake, hivi karibuni gazeti hili lilielezwa kuwa kuna habari ya kashfa nzito inayomtafuna mbunge huyo anayetokea Kanda ya Kaskazini lakini haikufafanua kwamba inahusu nini.

VYANZO
Baada ya kutulia na kupekua kwenye vyanzo vyake, Uwazi lilibaini kuwa kashfa inayomlenga mheshimiwa huyo ni ya ubakaji na tayari imefikishwa mahakamani huko London nchini Uingereza.
Habari hiyo ilielezwa ‘kijuujuu’ hivyo gazeti hili likamtafuta Flora ambaye ni Mtanzania anayetokea mkoani Kilimanjaro ambaye anaishi katika Jiji la London kikazi.

MAZITO
Alipopatikana Flora alibanwa kisawasawa ndipo akaibua mazito huku akieleza tukio zima lilivyofanyika kwa data na vielelezo vya kila aina ikiwemo barua ya Mahakama ya Crown ya London.
“Ni kweli mheshimiwa … (anamtaja jina) alinibaka Agosti, mwaka jana. Yeye na makada wenzake wa chama chake walikuja hapa London kwa ziara ya kichama na kwa kuwa mimi sina chama nilikwenda kuhudhuria mkutano wao kwa kuwa nina mtandao wangu (blog) hivyo nilitaka kupata habari za kuingiza kwa sababu ni za watu wa nyumbani (Tanzania).

MAZOEA YAANZA
Akiendelea kuweka wazi kisa hicho, Flora anasema: “Nikiwa kwenye mkutano….(jina la mbunge) alinifuata akaniuliza nimeandika watu wangapi waliohudhuria mkutano huo, nikamjibu 50 akaniambia niongeze idadi hiyo ili ionekane mkutano ulikuwa na watu (Watanzania waishio Uingereza) wengi.
“Hapo ndipo alipoanza kunizoea. Alitaka kunipa kadi ya chama chake  nikakataa, ndipo akadai kwamba mimi nilitumwa kwenye mkutano huo na balozi na rais kwa ajili ya ushushushu.

KISA KUJISAIDIA HAJA NDOGO
“Mkutano ulimalizika, sasa nilipokuwa naondoka kurudi nyumbani kwangu, mbunge huyo na wenzake nao walitoka. Tukiwa njiani wenzake walikwenda kujisaidia haja ndogo, yeye akaniomba akajisaide nyumbani kwangu, nilimkubalia. Alipofika ndani, bila kujua kila kitu kinaonekana kwenye kamera alinibadilikia kama vile adui vitani, ona sasa wema wangu ukawa umeniponza.

HADI KITANDANI
Alinirukia, akaniburuza hadi kitandani kwangu. Nilipokuwa mkali na kwa namna nilivyokuwa nimechanganyikiwa sishikiki ndipo akanivamia maungoni, akanichania nguo zangu akitaka nimwachie atimize lengo lake la kuniingilia kimwili kwa nguvu.
“Nilijitahidi ili asifanikiwe, nikamwambia amekwisha kwani lazima nimwanike ndipo akanipiga nusu aniue akisisitiza kuwa kama nitauanika uovu wake huo au kuchukua hatua zozote ataniua.
“Inaniuma sana, kunibaka anibake halafu atishie kuniua, unyama gani huu?”

AITA POLISI
Flora anaendelea kusema:
“Katika purukushani hiyo, nilipopata mwanya kidogo tu, nikapiga namba ya polisi 999 kuomba msaada. Alipoona hivyo alitoka na kutokomea kusikojulikana. Polisi walipofika hawakufanikiwa kumkamata.”

UBAKAJI/KUTISHIA KUUA
Flora alisema polisi walimchukua na kila kitu cha ushahidi zikiwemo nguo zake hadi kituoni, wakamhoji kwa kumrekodi sauti, wakampa namba ya jalada la kesi inayosomeka; 4621279/2012-UBAKAJI/KUTISHIA KUUA ambapo hadi leo mbunge huyo anasakwa na Polisi wa London, akikanyaga tu Uingereza lazima akamatwe akajibu tuhuma za ubakaji na kutishia kuua.
Flora akaongeza: “Ukweli ni kwamba hakufanikiwa kukamatwa kwa sababu alikuwa na passport za kidiplomasia ambazo nyingine hakutumia jina lake halisi.
“Kesho yake nilisikia alikimbilia Ujerumani, nikawaambia polisi lakini walikumbana na tatizo lile kwani majina niliyowapa siyo aliyotumia kuingia Ulaya.
“Januari mwaka huu nilipotaka kurudi nyumbani Kilimanjaro, mahakama ya hapa (Uingereza) ilinipa barua ambayo nilipofika niliipeleka Kituo Kikuu cha Polisi Moshi nikafunguliwa faili Namba Mos/RB/17127/12 kwa ajili ya ulinzi chini ya R.C.O Ramadhan Ng’anza.
                         MORE STORY BOFYA HAPA
                           http://www.globalpublishers.info/
                         http://missfbknitwearlyimo.blogspot.co.uk/

 

 

Sunday 12 May 2013

HAPPY MOTHERS DAY TO ALL MOTHERS IN THE WORLD



 A Mother loves right from the beginning star. she holds her baby close to her heart. the bond that grows will never falter. her love is strong it will never alter. a mother gives never ending love. she never feels that she has given enough. for u she will always do  her best. give ur mother a day to have some peace of mind be gentle, be good, be helpful and be kind. happy mothers day to all mothers in the worls

DAFT PUNK FEAT PHARREL N NILE RODGERS-GET LUCKY!!!!! WHAT A SONG


Wednesday 8 May 2013

SUKARI YA WAREMBO IN READING-DIAMOND PLATINUM PERFORMANCE

 
 
 
 
 
 
 
 



 
 
 
 
Some of the photoz thax to
missfbknitwearlyimo.blogspot.com/


Wednesday 1 May 2013

MEI MOSI TUJIACHIE NA KIBAO CHA RACHEL-NASHUKURU UMERUDI


DIAMOND PLATINUM n' WASAFI CREW MADE IT ON SPORAH SHOW

diamond platinum with sporah

 da prezident aka sukari ya warembo mwenyewe anajiita  sugar
 with da crew
 WASAAAAAFI
Photo: THE PRESIDENT MWENYEWE DIAMOND NDANI YA SPORAH SHOW STUDIO
RANDOM PICS
 
Sporah show  is one of the best african shows that is hoisted by sporah in england. The Sporah Show is a Weekly Show Aired on SKY 182: BEN TV Mondays 10:30pm & STAR TV In TANZANIA Fridays 18:pm & Saturdays 13:pm The Show Discuss Diff Issues & Focuses On Empowerment & Provides Positive Gateway To Develop and Promote The Young Generation. lets show some love by tuning on this stations

Wazoefu Computer Technology

Search This Blog

Please Share This

Thanks for Like and Tweet