Mtandao wa mediatakeout umeandika kua Mwanamuziki Chris Brown anaweza kwenda jela kwa Miaka 5 kwa kosa la kumnyang'anya simu msichana aitwaye Christal Spam. Christal ameeleza kua yeye na marafiki zake walikua wanamfatilia Chris na kumpiga picha wakati anatoka club. Inasemekana Chris alimnya'nganya Simu Christal ili asiweze kuziweka picha hizo kwenye websites. God, sijui hizi habari ni za kweli!!?Crossing my fingers, Hope it's not true.
Friday, 24 February 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
steakers shop on line
Wazoefu Computer Technology
Search This Blog
Followers
Archive
69records
My Blog List
Blogroll
Popular Posts
-
Mwanamke mnene ni mtamu sana, ana joto kali sana ndani ya uke, ana nyamanyama ambazo hazimuumizi mwanaume wakati wa kutoa masty...
-
One of the couples ninazozikubali sana Bongo....They dress and look like real celebrities. Hata wakisimama kwenye Red carpet unakubali tu...
-
5days zikiwa zimepita toka mtoto wa makamba "Mwammy" alipolifungua Jumba lake jipya ambalo limemgharimu almost 950,000$ sawa na ...
ni kweli kuhusu simu ila kuhusu kwenda Jela bado hawajafanya uamuzi huo. ni kwamba demu alimpiga picha chris brown bila hata kuomba ruhusa..chris alikua ndani ya gari kioo wazi basi alivyoona amepigwa picha akainyakua simu toka kwa demu akamwambia "bitch you ain't gonna put this in any website"...alafu dereva akaondoa gari wakasepa na simu ya mdada. sasa mdada kaenda kushitaki eti chris kamuibia simu!!! mijitu mingine bwana...sasa yeye si angeomba ruhusa...hata mimi limtu likija kunipiga picha bila ruhusa yangu wala sitafurahi...kila siku mtu unakimbizana na mapaparazi..sasa na watu baki nao wanasumbua hivyo! Chris alipe tu fine mambo yaishe...wanamuone tu mkaka wa watu... (Ritha Ntemi)
ReplyDeleteasante mama
Delete