hiyo ndo nyimbo iliyoimbwa na wasanii mbalimbali wa tanzania ili kuongeza mfuko wa pesa wa kumsaidia star wa bongo movies sajuki anaesumbuliwa na uvimbe tumboni kwenda kutibiwa india ila habari zilizopo chini ya carpet ni kwamba sajuki ameshakatiwa tiketi yeye na mke wake ya kwenda na kurudi na msamaria mwema mungu awaongezee watoaji wotee. hongereni sana mastaa wa bongo kwa uhamasishaji huo mmeonesha big support
Saturday, 5 May 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
steakers shop on line
Wazoefu Computer Technology
Search This Blog
Followers
Archive
69records
My Blog List
Blogroll
Popular Posts
-
Mwanamke mnene ni mtamu sana, ana joto kali sana ndani ya uke, ana nyamanyama ambazo hazimuumizi mwanaume wakati wa kutoa masty...
-
One of the couples ninazozikubali sana Bongo....They dress and look like real celebrities. Hata wakisimama kwenye Red carpet unakubali tu...
-
5days zikiwa zimepita toka mtoto wa makamba "Mwammy" alipolifungua Jumba lake jipya ambalo limemgharimu almost 950,000$ sawa na ...
Thank you for visiting us
Total Pageviews
964973
Kwa wimbo huu na uhamasishaji tuliouona na kuusikia toka kwa mastaa wetu, kweli wanastahili hongera, wamefanya jambo la maana sana na hii ndo maana halisi ya kioo cha jamii, mungu amsaidie Sajuki apone arudi kwenye hali yake ya zamani ili aweze lea mke na mtoto wake
ReplyDelete