Thursday 30 August 2012

MAMA RWAKATALE AFUNGUA MJENGO WAKE RASMI......


huu ndo mjengo mpya wa mama rwakatale.. sonyeni kimya kimya eeeh
kweli dini inalipa aiseee me proud of u
kwaya za kumwagaaaaaaa
alitoa speech
mahanjumati mmmmmh
ZE KING BED
rev Getruda Rwakatale ambaye ni mmiliki shule za st marys nchini Tanzania na kanisa la mikocheni B assemblies of GOD  hatimaye amefungua nyumba yake mpya iliyoshudiwa na wahumini walioshiriki kwenye hafla hiyo fupi. muumin wa mungu mama Rwakatale amedhihirisha wazi kuwa kazi ya bwana imezaa matunda jamani am really proud of this woman she inspire me alot kweli wanawake tunaweza

No comments:

Post a Comment

Thank you for visiting our website

Wazoefu Computer Technology

Search This Blog

Please Share This

Thanks for Like and Tweet