Wednesday 29 May 2013

R.I.P ALBERT MANGWEAR

Albert Mangwea
Habari mbaya na za kusikitisha zinasema mangwear msanii wa bongo fleva amefariki dunia kwa kujioverdose madawa ya kulevya. kifo cha mangwear kimetokea nchini south afrika baada ya kutoamka pindi alipo lala. habari nyingine mbaya zaidi zinasema rafiki ya mangwear pia kaaga dunia hii leo huko Africa kusini sasa sijui chanzo cha kifo chao ni madawa kwa wote au kuna something behind the scene. mumgu alitoa na mungu ametwaa jina lake lihimidiwe. R.I.P


 

No comments:

Post a Comment

Thank you for visiting our website

Wazoefu Computer Technology

Search This Blog

Please Share This

Thanks for Like and Tweet