Saturday 5 May 2012

TANZANIA ALL STAR- MBONI YANGU

hiyo ndo nyimbo iliyoimbwa na wasanii mbalimbali wa tanzania ili kuongeza mfuko wa pesa wa kumsaidia star wa bongo movies sajuki anaesumbuliwa na uvimbe tumboni kwenda kutibiwa  india ila habari zilizopo chini ya carpet ni kwamba sajuki ameshakatiwa tiketi yeye na mke wake ya kwenda na kurudi na msamaria mwema mungu awaongezee watoaji wotee. hongereni sana mastaa wa bongo kwa uhamasishaji huo mmeonesha big support

1 comments:

  1. Kwa wimbo huu na uhamasishaji tuliouona na kuusikia toka kwa mastaa wetu, kweli wanastahili hongera, wamefanya jambo la maana sana na hii ndo maana halisi ya kioo cha jamii, mungu amsaidie Sajuki apone arudi kwenye hali yake ya zamani ili aweze lea mke na mtoto wake

    ReplyDelete

Thank you for visiting our website

Wazoefu Computer Technology

Search This Blog

Please Share This

Thanks for Like and Tweet