nimejaribu kuapload a better video for u guys ila imenishinda just look at the words that rihanna has opened up na uachane na mwehu anaeendelea kuongea hapo after her maana sijapata video yenye maneno mazuri na yaliosikika kama hiyo video hapo juu.... Rihanna anadai kwamba tangu ameachana na chris anahisi bado anampenda though chris anademu wake na yeye hana mtu na she feels so lonely hayo ni maneno ya RI-RI just so lovely n touching hadi katoa chozi mrembo huyu kweli Ally kiba hajakosea alivyosema mapenzi yana run duniiiiiiiiiiiiia
Thursday, 23 August 2012
RIHANNA KUFUNGUKA JUU YA UHUSIANO WAKE NA CHRIS BROWN KWENYE SHOW YA OPRAH
Published :
16:30
Author :
nyumbani kwetu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
steakers shop on line
Wazoefu Computer Technology
Search This Blog
Followers
Archive
69records
My Blog List
Blogroll
Popular Posts
-
Kwa mujibu wa wema on istagram kama picha na caption yake inavyosema kuwa ana expect hheheheh sisi tunasubiri tu movie iendelee lol ...
-
Join us on Sat 18th Jan 2014 at the most unique party in READING,THE BIG ROYAL BIRTHDAY BASH,2 Bedford rd RG1 7HS Featuring RICHIEDEE and...
No comments:
Post a Comment
Thank you for visiting our website