Sunday 5 August 2012

ushaiona hii video ya Baby J ft Ali Kiba-BWASHEE?

Baby J na mzee mzima Ali K hakijaaribika kitu. Ila hivi hawa wanaoedit hizi video wanashindwa kukata hiyo sound  mwanzoni mwa video? Maana hii ipo kwenye video nyingi za kibongo na inaharibu kwa kweli. 

No comments:

Post a Comment

Thank you for visiting our website

Wazoefu Computer Technology

Search This Blog

Please Share This

Thanks for Like and Tweet