Inasememekana mwanadada movie star Angelina Jolie amekatwa maziwa yake yote mawili ni baada ya kupima kipimo cha $3000 ambacho hutumika kuangalia kama una-gene ya cancer ya maziwa na ya ovaries. yeye aliamua kupima kwa kuwa mama yake alifariki kwa cancer. na alipopima alikutwa na yeye anayo hiyo gene. wakamwambia kuna uwezekano wa 87% za yeye kuja kuwa na cancer ya maziwa hapo mbeleni...na 50% ovarian cancer...baada ya kuambiwa hivyo akaamua bora akatwe maziwa kabla hiyo cancer hajampata. kwa hiyo amekatwa maziwa ila kaweka maziwa feki kama wawekayo wanawake wengine.
Thursday, 16 May 2013
ANGELINA JOLIE AKATWA MAZIWA YAKE YOTE KUHOFIA KUPATA CANCER
Published :
12:13
Author :
nyumbani kwetu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
steakers shop on line
Wazoefu Computer Technology
Search This Blog
Followers
Archive
69records
My Blog List
Blogroll
Popular Posts
-
wanasema -natiririka natiriki hivi natiririka natirika hivii sharobaro kakatiza mitaa ta tandika.........cant stop listening to this tune...
-
Mwanamke mnene ni mtamu sana, ana joto kali sana ndani ya uke, ana nyamanyama ambazo hazimuumizi mwanaume wakati wa kutoa masty...
-
Siku hizi nguo za kanga na kitenge a.k.a B2A zimerudi kwa kasi...ukitaka kushona tembelea page hii facebook unawez...
-
Hiki kikombe kilikitumika na Lady Gaga kwa siku moja tu na kupigwa mnada, watu zaidi ya 1300 walivutiwa na kutaka kukinunua, ila mwisho...
No comments:
Post a Comment
Thank you for visiting our website