Inasememekana mwanadada movie star Angelina Jolie amekatwa maziwa yake yote mawili ni baada ya kupima kipimo cha $3000 ambacho hutumika kuangalia kama una-gene ya cancer ya maziwa na ya ovaries. yeye aliamua kupima kwa kuwa mama yake alifariki kwa cancer. na alipopima alikutwa na yeye anayo hiyo gene. wakamwambia kuna uwezekano wa 87% za yeye kuja kuwa na cancer ya maziwa hapo mbeleni...na 50% ovarian cancer...baada ya kuambiwa hivyo akaamua bora akatwe maziwa kabla hiyo cancer hajampata. kwa hiyo amekatwa maziwa ila kaweka maziwa feki kama wawekayo wanawake wengine.
Thursday, 16 May 2013
ANGELINA JOLIE AKATWA MAZIWA YAKE YOTE KUHOFIA KUPATA CANCER
Published :
12:13
Author :
nyumbani kwetu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
steakers shop on line
Wazoefu Computer Technology
Search This Blog
Followers
Archive
69records
My Blog List
Blogroll
Popular Posts
-
Kwa mujibu wa wema on istagram kama picha na caption yake inavyosema kuwa ana expect hheheheh sisi tunasubiri tu movie iendelee lol ...
-
Join us on Sat 18th Jan 2014 at the most unique party in READING,THE BIG ROYAL BIRTHDAY BASH,2 Bedford rd RG1 7HS Featuring RICHIEDEE and...
No comments:
Post a Comment
Thank you for visiting our website