Habari mbaya na za kusikitisha zinasema mangwear msanii wa bongo fleva amefariki dunia kwa kujioverdose madawa ya kulevya. kifo cha mangwear kimetokea nchini south afrika baada ya kutoamka pindi alipo lala. habari nyingine mbaya zaidi zinasema rafiki ya mangwear pia kaaga dunia hii leo huko Africa kusini sasa sijui chanzo cha kifo chao ni madawa kwa wote au kuna something behind the scene. mumgu alitoa na mungu ametwaa jina lake lihimidiwe. R.I.P
Wednesday, 29 May 2013
R.I.P ALBERT MANGWEAR
Published :
12:31
Author :
nyumbani kwetu
Habari mbaya na za kusikitisha zinasema mangwear msanii wa bongo fleva amefariki dunia kwa kujioverdose madawa ya kulevya. kifo cha mangwear kimetokea nchini south afrika baada ya kutoamka pindi alipo lala. habari nyingine mbaya zaidi zinasema rafiki ya mangwear pia kaaga dunia hii leo huko Africa kusini sasa sijui chanzo cha kifo chao ni madawa kwa wote au kuna something behind the scene. mumgu alitoa na mungu ametwaa jina lake lihimidiwe. R.I.P
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
steakers shop on line
Wazoefu Computer Technology
Search This Blog
Followers
Archive
69records
My Blog List
Blogroll
Popular Posts
-
Kwa mujibu wa wema on istagram kama picha na caption yake inavyosema kuwa ana expect hheheheh sisi tunasubiri tu movie iendelee lol ...
-
Join us on Sat 18th Jan 2014 at the most unique party in READING,THE BIG ROYAL BIRTHDAY BASH,2 Bedford rd RG1 7HS Featuring RICHIEDEE and...
No comments:
Post a Comment
Thank you for visiting our website