Habari mbaya na za kusikitisha zinasema mangwear msanii wa bongo fleva amefariki dunia kwa kujioverdose madawa ya kulevya. kifo cha mangwear kimetokea nchini south afrika baada ya kutoamka pindi alipo lala. habari nyingine mbaya zaidi zinasema rafiki ya mangwear pia kaaga dunia hii leo huko Africa kusini sasa sijui chanzo cha kifo chao ni madawa kwa wote au kuna something behind the scene. mumgu alitoa na mungu ametwaa jina lake lihimidiwe. R.I.P
Wednesday, 29 May 2013
R.I.P ALBERT MANGWEAR
Published :
12:31
Author :
nyumbani kwetu
Habari mbaya na za kusikitisha zinasema mangwear msanii wa bongo fleva amefariki dunia kwa kujioverdose madawa ya kulevya. kifo cha mangwear kimetokea nchini south afrika baada ya kutoamka pindi alipo lala. habari nyingine mbaya zaidi zinasema rafiki ya mangwear pia kaaga dunia hii leo huko Africa kusini sasa sijui chanzo cha kifo chao ni madawa kwa wote au kuna something behind the scene. mumgu alitoa na mungu ametwaa jina lake lihimidiwe. R.I.P
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
steakers shop on line
Wazoefu Computer Technology
Search This Blog
Followers
Archive
69records
My Blog List
Blogroll
Popular Posts
-
5days zikiwa zimepita toka mtoto wa makamba "Mwammy" alipolifungua Jumba lake jipya ambalo limemgharimu almost 950,000$ sawa na ...
No comments:
Post a Comment
Thank you for visiting our website