Wednesday 21 March 2012

Watu na kazi zao....

   
 
Rihanna akiperform kwenye Fundrising ya Brad Pitt huko New Orleans Marekani.   
Hapa kuna watu wanatamani aongeze hatua ili mpasuo uongezeke...ila ndio haupandi wala la hausogei...lol

4 comments:

  1. wow! nice dress RIRI ,mimi penda hiyo

    ReplyDelete
  2. mashallah gauni limetulia hilo haya na siye vibonge tugeze maana kwa kugeza, wala hatuangalii shepu zetu!

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kuna shogangu yy uiga mavazi ya macelebrity ila anaumbo bayaa ananikera sana

      Delete
  3. hahahaha et anaumbo baya kweli sisi kwa kuiga loh hata visivyoigika twaiga tu,Ametokelezeaaaaaaa

    ReplyDelete

Thank you for visiting our website

Wazoefu Computer Technology

Search This Blog

Please Share This

Thanks for Like and Tweet