Thursday, 21 November 2013

Thursday, 14 November 2013

FLASH BACK FRIDAY..... I WANNA KNOW BY JOE THOMAS


KIFO CHA DR MVUNGI CHASIKITISHA SANA... 9 SUSPECTS WAMEKAMATWA



dr mvungi alifariki dunia jumanne saa 3.30 nchini south Africa. kifo chake kilikua announced kuanzia saa 4pm.DR Mvungi aliingiliwa na majambazi nyumbani kwake wakamkata mapanga na kumjeruhi kichwani kitu kilichomuacha DR kupoteza fahamu. majambazi hao walifanikiwa kuondoka na vitu vidogo vidogo kama laptop na vitu vidogo vidogo visivyo kuwa na thamani ya uhai wa binadamu pamoja na unknown amount of money zilizoachiwa na mkeo baada ya kupigwa na hao majamabazi
       Watu walioshikiriwa na mapolisi kama suspects ni Msigwa Mpopela (30), also known as Matonya, who is also leader of the group, Chibango Magozi, Ahmed Alit, a resident of Mwananyamala, Zakaria Raphael Mses (23), a resident of Buguruni Malapa and Marda Saluha (40), also known as Mr White, a resident Vingunguti.
Others are Paulo Jairos (29), also known as Ndonondo from Vingunguti, Juma Hamis (29) from Vingunguti, Longishu Sewalike (29) from Msimbazi and Masaga Makenza (41), a bodaboda operator, who resides at Kitunda. R.I.P DR MVUNGI

Wednesday, 9 October 2013

diamond alalamika nyimbo yake mpya kuvujishwa


The king of pop in Tanzania diamond platinum amelalamika kupitia kwenye mtandao wa instagram kuwa nyimbo yake ya nikifa kesho imevujishwa na aliyekua producer wake wa zamani. diamond  aliandika hivi kwa instagram "kuvujisha nyimbo yangu hakuwezi kunipunguzia wala kunidhiru chochote sanasana utanizidishia umaarafu na kunipa show zaidi...kama nimeacha kurecord nyimbo studio kwako uspanick,relax..tafta msanii mwingine mkali zaidi yangu umrecordie ngoma ahit kushinda mimi....ila kuvujisha unajisumbua bure #ulievujishanikifakesho

Wazoefu Computer Technology

Search This Blog

Please Share This

Thanks for Like and Tweet